| Kikundi cha kinachowakilisha wananchi(watumiaji huduma za afya) wakijadili baadhi ya changamoto zinawakabili pindi wanapokuwa wanaenda kupata huduma za afya hospitalini. |
| Baadhi ya wadau kutoka Wizarani, Wafadhali na Waganga wakuu wakijadili kwa makini changamoto zinatokea katika usambazaji wa dawa na vifaa tiba Tanzania katika mkutano huo. |
| Mdau akichangia mapendekezo ya mfumo wa usambazaji dawa na vifaa tiba ili kuondokana na kero za malalamiko ya kutokwepo kwa dawa na vifaa tiba katika baadhi ya vituo vya afya vya umma hapa nchini. |
| Wadau kutoka Bohari kuu ya dawa (MSD) na Wizara wakitathmini jambo. |
| Mfamasia Sophia Josaphat Bitta kutoka wilaya ya Kinondoni akielezea umuhimu wa mkutano wa wadau wa ugavi na usambazaji dawa na vifaa tiba ulivyompa fursa ya kuelezea changamoto wanazokutana nazo. |
| Maria Sarungi Tsehai akiendesha mkutano huo kwa makini. |
| Wadau kutoka sehemu mbalimbali wakitathmini changamoto zao za kimfumo kwa pamoja . |
| Mdau akiwasilisha changamoto pamoja na mapendekezo katika mfumo wa usambazaji dawa na vifaa tiba nchini. |
| Patrick Kinemo akifafanua jambo kwa waandishi wa habari katika mkutano huo. |
| Wadau wakilisikiliza kwa makini mawasilisho ya changomoto, mapendekezo na maazimio ndani ya mkutano huo. |
No comments:
Post a Comment