| Beatrice Mkani akitoa ufafanuzi juu ya mada. |
| Beatrice Mkani akitoa mada. |
| Mkuu wa programu za Sikika Bw. Patrick Kinemo akitoa ufafanuzi wa baadhi ya maswali yaliyoulizwa na wadau mbalimbali wa afya. |
| Mganga Mkuu wa Serikali Dk. Donann Mmbando akifuatilia uwasilishwaji wa mada ya Sikika kwa umakini. |
| Naibu Katibu Mkuu TAMISEMI - Afya Dk. Deo Mtasiwa akifuatilia kwa makini uwasilishwaji wa mada kutoka Sikika. |
| Baadhi ya wadau wa afya wakifuatilia uwasilishwaji wa mada katika mkutano huo. |
| Mkuu wa Idara ya Dawa na vifaa tiba kutoka Sikika Bi.Alice Monyo (Kulia) na Afisa programu Idara ya Raslimali Watu Dk. Wilson Kitinya (Wapili kulia) wakifuatilia uwasilishwaji wa mada mbalimbali. |
| Mjumbe wa Bodi ya Sikika Dk. Elihuruma Nangawe (Kushoto) akifuatilia kwa makini uwasilishwaji wa mada. |
| Naibu Katibu Mkuu TAMISEMI - Afya Dk. Deo Mtasiwa akitolea ufafanuzi wa baadhi ya hoja. |
| Naibu Katibu Mkuu TAMISEMI - Afya Dk. Deo Mtasiwa (Kushoto) akiteta jambo na Mkuu wa programu za Sikika Bw. Patrick Kinemo. |
No comments:
Post a Comment