![]() |
|
Baadhi ya
wananchi kutoka kata ya Ukonga wakisikiliza kwa makini maelezo na namna ya
utekelezaji wa zoezi la SAM.
|
![]() |
|
Wawakilishi watatu waliongia katika mchakato wa kumtafuta muwakilishi mmoja ambaye
atawakilisha wananchi wa kata ya Ukonga katika timu ya utekelezaji wa zoezi la
SAM.
|
![]() |
| Dominica Daniel ndiye alieibuka kidedea mara baada ya kuchaguliwa na wananchi katika kuwawakilisha katika timu ya SAM. |
| Funua hapa umuone anaetafutwa! |
| Anaetafutwa ndio huyu? |
|
Mratibu wa
shughuli za Sikika, Bw.Jackson Sikahanga akitoa maelezo kwa wananchi jinsi ya
kumpata mwakilishi katika zoezi la SAM mkoani Kibaha.
|
| Jakson Sikahanga akiwaelezea wananchi wa Kibaha namna ya utekelezaji wa zoezi la SAM utakavyofanyika. |
|
Jackson
akiwa na Shaban Kibwana ambae ni mwakilishi aliechaguliwa na wananchi
wenzake kuwawakilisha katika timu ya SAM.
|









No comments:
Post a Comment