![]() |
| Kaimu Afisa Mtendaji wa kata ya Thawi Ibrahimu Kisuju akizungumza na baadhi ya wajumbe wa timu ya SAM walipotembelea zahanati ya Thawi wilayani Kondoa. |
![]() |
| Wakazi wa kata ya Mnenia iliyopo wilaya ya Kondoa wakisoma machapisho ya Sikika |
![]() |
| Mkazi wa wa wilaya ya Kondoa akisoma chapisho la Ripoti ya zoezi la SAM katika wilaya hiyo. |
![]() |
| Mratibu wa kanda toka Sikika Bi. Norah Mchaki akizungumza na wakazi wa Mnenia wilayani Kondoa kuhusu umuhimu wa Haki ya Afya katika katiba mpya. |
![]() |
| Nyumba ya Mganga mkuu katika Zahanati ya Chololo wilayani Kondoa. |
![]() |
| Mratibu Sikika wilayani Kondoa Bw. Nelson Lema akizungumza na wakazi wa kijiji cha Chololo kuhusiana na hali ya upatikanaji wa huduma za afya katika Zahanati ya kijiji hicho. |
![]() |
| Mratibu wa Sikika wilayani Kondoa Bw. Nelson Lema akichukua maelezo toka kwa wananchi wa Chololo kuhusiana na hali ya upatikanaji wa huduma za afya katika Zahanati ya kijiji hicho. |

Wajumbe wa timu ya SAM wilayani Kondoa Bi. Joyce Ruta (kushoto) na Waziri Fataki wachukua amelezo juu ya upatikanaji wa huduma za afya katika Zahanati ya Chololo.
![]() |
| Mratibu wa Sikika wilayani Kondoa Bw. Nelson Lema akizungumza na wakazi wa kijiji cha Masawi kuhusu zoezi la SAM na upatijakanaji wa huduma za afya kijijini hapo. |
![]() |
| Wananchi wakiwa katika kituo cha afya Mnenia wilayani Kondoa wakisubiri kufanya uchaguzi wa wawakilishi wa timu ya SAM. |

Mratibu wa Sikika wilayani Kondoa Bw. Nelson Lema (aliyesimama katikakati) akizungumza na Wananchi (wapokea huduma za afya) katika Zahanati ya Thawi wilayani humo.









No comments:
Post a Comment