| Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Sikika Ms. Lilian Kallaghe, akichangia mada katika warsha ya Haki za Binadamu iliyondaliwa na THRD- Coalition na kushirikisha Jeshi la Polisi. |
| Mwenyekiti wa Bodi ya Mtandao wa THRD, Ms. Martina Kabisama akitoa maelezo kuhusu umuhimu wa ushirikiano wa Watetezi wa Haki za Binadamu katika kudumisha amani nchini Tanzania. |
Kamanda wa Polisi, ACP.Camillus Wambura kutoka mkoa wa kipolisi wa Kinondoni akizungumza jambo katika mkutano wa watetezi wa haki za binadamu ulioshirikisha Jeshi la Polisi na CSOs.
|
| Naibu Inspekta wa Jeshi la Polisi, Abdulrahman Kaniki akifungua mkutano wa Watetezi wa Haki za Binadamu jijini Dar es Salaam, 28 Oktoba, 2014. |
No comments:
Post a Comment