Monday, February 9, 2015

Wadau wa Maendeleo kutoka nchi za Canada na Ireland wafanya mkutano na Ofisi ya CAG, TAMISEMI Dodoma


Mshauri katika Masuala ya Afya, Kira Thomas kutoka nchini Canada akifafanua jambo katika mkutano wa pamoja na maofisa kutoka Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali (NAOT) mkoani Dodoma. Katikati ni Afisa Maendeleo, Delphine Thardif kutoka Canada na  Karen Zamboni kutoka Ireland. Lengo la mkutano huo ni kujua kwa namna gani Sikika inavyofanya shughuli zake mbalimbali kushirikiana na Ofisi ya CAG.
Mkaguzi wa Kituo  kutoka Ofisi ya NAOT Dodoma, Bw. George Yohana (Kulia) akifafanua jambo katika mkutano wa pamoja na Wadau wa maendeleo. Kushoto ni Mkuu wa Ofisi ya Kanda Sikika - Dodoma Bi. Norah Mchaki.
Wakaguzi wa vituo kutoka Ofisi ya NAOT Dodoma, Bw. Fredrick Magawa (Kulia) na Bw. George Yohana katika ofisi za Sikika Dodoma.

Kira na Delphine wakisikiliza jambo kwa makini. 
 Mkuu wa Ofisi ya Kanda Sikika - Dodoma Bi. Norah Mchaki akisisitiza jambo katika mkutano huo.
Picha ya Pamoja: Wadau wa maendeleo, NAOT  na wafanyakazi wa Sikika - Dodoma. 


Bw. Dennis Bandisa, (Kulia) akiwakaribisha Wadau wa maendeleo katika katika ofisi za  TAMISEMI mjini Dodoma. 




No comments: