Mkurugenzi wa Sikika Bw. Irenei Kiria (aliyekaa), akiwa na wajumbe wa jumuiya ya wabunge kutoka nchini Canada (Canada - Afrika Parliamentary Association - CAPA) katika picha ya pamoja mara baada ya mkutano kumalizika. Wa kwanza kutoka kushoto ni Peter Goldring (Kutoka Edmonton East, Alberta, Canada) na Raynell
Andreychuk (Kutoka chama cha Conservative, Canada). Wa kwanza kutoka kulia ni Mkuu wa programu za Sikika Bw. Patrick Kinemo, Jim
Munson (Kutoka chama cha Liberal, Canada) na Mauril
Bélanger (Kutoka Ottawa, Vanier, Ontario, Canada). Dhumuni la mkutano huo ilikua ni kujadili maeneo ya kipaumbelea katika sekta ya afya kati ya Tanzania na Canada.
|
No comments:
Post a Comment