| Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Donan Mmbando akieleza hali ya sekta ya afya nchini. |
| Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Donan Mmbando (Katikati) akisaini makubaliano ya Mpango wa kusaidia Sekta ya Afya nchini. |
| Balozi wa Denmark nchini Tanzania Johnny Flento akisaini makubaliano hayo. |
| Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Donan Mmbando akiweka saini. |
| Naibu Katibu Mkuu TAMISEMI - Afya Dk. Deo Mtasiwa akiweka saini. |
| Mkurugenzi wa Sikika (Kulia) Bw. Irenei Kiria akisaini makubaliano ya mpango huo. |
| Mkurugenzi Mtendaji wa CCBRT Bw. Erwin Telemans akiweka saini. |
| Regional Coordinator, Southern Africa Ulla E. Muller kutoka Maria Stopes akiweka saini. |
| Mkurugenzi wa Christian Social Services Commission (CSSC) Peter Maduki kulia, akiweka saini makubaliano hayo. |
| Mkurugenzi Mtendaji wa APHFTA (Kulia) Dk. Samwel Ogillo akiweka saini. |
| Bw. Irenei Kiria (Kushoto) akifurahia jambo na Bw. Erwin Telemans |
| Kutoka kushoto ni Dk. Deo Mtasiwa, Dk. Donan Mmbando (Katikati) na Bw. Irenei Kiria katika picha ya pamoja mara baada ya mkutano huo kumalizika. |
| Bw. Irenei Kiria akifanyiwa mahojiano na vyombo vya habari mara baada ya mkutano. |
| Picha ya Pamoja: Wizara ya Afya na Mashirika yasiyo ya kiserikali katika picha ya pamoja. |
No comments:
Post a Comment