| Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Bw. Tom Nyanduga, akitoa risala fupi baada ya kuwatunukia Tuzo washindi wa Haki za Binadamu kwa mwaka 2014. |
| Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Bw. Tom Nyanduga, akizindua ripoti ya Haki za Binadamu ya mwaka 2014. |
| Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR Mageuzi), David Kafulila akikabidhiwa Tuzo ya utetezi wa haki za binadamu ya mwaka 2014. |
| David Kafulila akitoa shukrani mara baada ya kupokea tuzo hiyo. |
| David Kafulila akisalimiana na Mwenyekiti wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu nchini, Martina Kabisama. |
| Jamila Sullu akitoa maelezo kuhusu kuanzishwa kwa Mpango wa Haki za Binadamu ( Human Rigths Action Plan 2014). |
| Watetezi na wa Haki za Binadamu katika picha ya pamoja. |
No comments:
Post a Comment