| Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya ya Kibaha, Bi. Tatu Selemani akiongelea juu ya upatikanaji wa huduma bora za Afya hasa kwa upande wa Madawa na Vifaa Tiba. |
| Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya ya Kibaha, Bi. Tatu Selemani akikazia jambo. |
| Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya ya Kibaha, Bi. Tatu Selemani katika picha ya pamoja na timu ya Sikika pamoja na Mdau wa Maendeleo, Aurelie Righetti, (wa pili kutoka Kulia). |
| Mganga Mkuu wa Wilaya ya Kibaha Bi. Mariam Malliwah akimueleza jambo Afisa program - Idara ya Afya Bi. Aurelie Righetti. |
| Mganga Mkuu wa Wilaya ya Kibaha Bi. Mariam Malliwah akieleza jambo. |
| Mwenyekiti wa timu ya SAM, Bi. Josephina Gunda akielezea juu ya mafanikio ya zoezi la SAM katika baadhi ya vituo vya Afya. |
| Bi. Josephina Gunda akisisitiza jambo. |
| Katibu wa timu ya SAM wilaya ya Kibaha Bw. Mfalamagoha akisoma ripoti fupi kuhusiana na upatikanaji wa huduma za afya katika wilaya hiyo. |
| Wajumbe wa timu ya SAM wilayani Kibaha wakisikiliza kwa makini ripoti inayowasiliswa. |
| Mjumbe wa timu ya SAM akichangia jambo. |
| Timu ya SAM wilaya ya Kibaha katika picha ya pamoja na Wadau kutoka Sikika. |
| Mganga Mfawidhi wa Kituo cha Afya Mlandizi Dkt. Adronicus Aloyce Rwelamila akieleza baadhi ya mafanikio katika katika kituo hicho yaliyotokana na timu ya SAM - Kibaha. |
| Mganga Mfawidhi wa Kituo cha Afya Mlandizi Dkt. Adronicus Aloyce Rwelamila akisisitiza jambo. |
| Bi. Beatrice Mkani kutoka Sikika akichangia jambo. |
| Mganga Mfawidhi wa Kituo cha Afya Mlandizi Dkt. Adronicus Aloyce Rwelamila katika picha ya pamoja. |
| Dkt. Adronicus Aloyce Rwelamila akionesha upatikanaji wa taarifa katika ubao wa matangazo. |
| Baadhi ya wagonjwa wakisubiri kupatiwa matibabu katika kituo cha Afya Mlandizi. |
| Gharama za uchangiaji wa huduma za Afya katika kituo cha afya Mlandizi kama zinavyooneka katika ubao. |
| Baadhi ya wagonjwa wakichukua Dawa katika dirisha la dawa kwa wagonjwa wa Bima (NHIF na CHF). |
| Fomu anayopewa mgonjwa baada ya kuandikishwa kabla ya kumuona daktari, pia fomu hii huonyesha kama mgonjwa ni mwananchama wa CHF, NHIF au wa malipo ya papo kwa papo. |
| Jengo la kupumzika wagonjwa. |
| Moja ya jengo la wagonjwa wa nje (OCD) katika kituo cha afya Mlandizi. |
| Mtendaji wa kata ya Soga Bw. Mfalamagoha akielezea juu ya upatikanaji wa huduma za afya katika Zahanati ya Soga wilayani Kibaha. |
| Mganga Mfawidhi katika Zahati ya Soga, Bi. Husna Ngunga akielezea mafanikio walioyapata juu ya wananchi kujiunga na Mfuko wa Bima ya Afya nchini (CHF). |
| Muuguzi katika Zahanati ya Soga akionesha stoo ya dawa. |
| Mgawanyo wa fedha za CHF kama unavyoonekana katika picha. |
| Watoa huduma katika Zahanati ya Soga na Wadau kutoka Sikika. |
| Zahanati ya Soga. |
No comments:
Post a Comment