| Mshindi wa tuzo ya umahiri EJAT 2014 ya mpiga picha bora wa mwaka kutoka Gazeti la Mtanzania Abubakari Akida akielezea jinsi alivyoshiriki katika tuzo za CNN na kuibuka mshindi wa pili. |
| Afisa Uhusiano Mwandamizi kutoka PPRA, Mcharo Mrutu akieleza ushiriki wao katika tuzo za EJAT kwa mara ya kwanza kupitia kigezo cha habari za manunuzi ya umma. |
| Bw. Kajubi Mukajanga akisisitiza jambo. Kutoka (Kushoto) ni Mkuu wa kitengo cha Habari na Mawasiliano kutoka Sikika Bi. Lilian Kallaghe. |
| Baadhi ya waandishi kutoka vyombo mbalimbali vya habari nchini wakifuatilia uzinduzi huo kwa makini. |
| Mtangazaji wa East Africa radio, Steven Mumbi akiuliza swali katika mkutano huo. |
| Jaji mkuu katika tuzo za EJAT 2014 Bw. Chrysostom Rweyemamu akijibu baadhi ya maswali kutoka kwa waandishi wa habari. |
| Mshindi wa tuzo ya umahiri EJAT 2014 ya mpiga picha bora wa mwaka kutoka Gazeti la Mtanzania Abubakari Akida akionesha tuzo yake aliopata toka CCN. |
No comments:
Post a Comment