Thursday, November 26, 2015

Sikika yashiriki katika Mkutano wa Mwaka wa Wadau wa Marejeo ya Utendaji wa Sekta ya Afya (JAHSR) 2015

Beatrice Mkani kutoka Sikika, Idara ya Usimamizi na Tathmini (M&E) akiwasilisha mada katika Mkutano wa Mwaka wa Wadau wa Marejeo ya Utendaji wa Sekta ya Afya (JAHSR) 2015kwa niaba ya AZAKI zinazoshughulika na masuala ya afya.


Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Donan Mmbando (wa kwanza kulia) na baadhi ya washiriki wakifuatilia uwasilishwaji wa mada ya AZAKI. 

 Baadhi ya washiriki wakifuatilia uwasilishwaji wa mada mbalimbali katika mkutano wa JAHSR-2015.
Bi. Beatrice Mkani akitoa ufafanuzi kwa baadhi ya maswali yalioulizwa na washiriki.





Mkurugenzi Msaidizi wa Tiba huduma za Hospitali, Dkt. Dorothy Gwajima akichangia hoja katika mkutano wa Mwaka wa Wadau wa Marejeo ya Utendaji wa Sekta ya Afya.
Naibu Katibu Mkuu TAMISEMI - Afya, Dk. Deo Mtasiwa akifafanua baadhi ya hoja zilizowasilishwa na washiriki katika mkutano huo.  

 Beatrice Mkani  (Kulia) na Florian Schweitzer kutoka Sikika wakiandika baadhi ya maswali yaliyoulizwa na washiriki mara baada ya uwasilishaji wa ripoti ya AZAKI. 
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Donan Mmbando akichangia mada.
 Dk. Deo Mtasiwa akitoa ufafanuzi katika mkutano wa JAHSR. 

Dkt. Oberlin Kisonga kutoka Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii akiwasilisha mada. 


No comments: