| Saidi Michael (Wakudata) mchora katuni kutoka Gazeti la Mtanzania akionesha tuzo yake baada ya kuibuka mshindi katika kipengele cha Mchora Katuni bora katika Tuzo za Umahiri za EJAT 2015. |
| Mshindi wa jumla kwenye Tuzo za Umahiri wa Uandishi wa Habari za (EJAT 2015) Bw. Frank Bahati akihojiwa. |
| Kikundi cha ngoma kikitoa burudani. |
![]() |
| Mwenyekiti Mtendaji wa IPP Bw. Reginald Mengi (Wapili kulia) akiwa na Jaji Mstaafu Thomas Mihayo (Katikati) na Mh. Bahame Nyanduga (kushoto) wakifurahia jambo wakati hafla hiyo. |
| Wadau kutoka mashirika mbalimbali nchini walioshiriki katika usiku wa Tuzo za EJAT 2015. |
| Bw. Kajubi Mukajanga (Kushoto) akijadili jambo na mgeni rasmi Mh. Bahame Nyanduga. |
| Mlimiki wa Kituo cha Radio cha ABM kilichopo Mjini Dodoma Bw. Abdallah Majura (Kulia) akiwa na baadhi ya wadau wengine waliohudhuria utaoji wa tuzo hizo. |
| Bi. Rose Haji Mwalimu akilia baada ya kutangazwa kuwa mshindi katika tuzo ya maisha ya mafanikio katika uandishi wa habari (EJAT 2015). |
| Mh. Bahame Nyanduga akimkabithi tuzo Bi. Rose Haji Mwalimu baada ya kuibuka mshindi katika tuzo ya maisha ya mafanikio katika uandishi wa habari (EJAT 2015). |
| Washindi wa Tuzo za EJAT 2015 katika picha ya pamoja. |

No comments:
Post a Comment