| Afisa Utafiti kutoka Kituo cha Haki za Binadamu Bw. Fundikila Wazambi akiwasilisha utafiti wa ripoti hiyo kwa wadau mbalimbali wa Haki za Binadamu nchini. |
| Mkurugenzi wa Hodari Tanzania Bi. Imelda Lulu Urio akielezea juu Haki ya kuwa Huru na Usalama wa Mtu (Uuaji, Utekaji na Uteswaji unaofanywa na 'watu wasiojulikana'). |
| Bi. Jane Magigita akizungumzia juu ya masuala ya Ukiukwaji wa Haki za Wanawake, Usawa wa Kijinsia na Kutobaguliwa. |
| Mwanachama wa TAMASHA, Shirika la kuendeleza Haki za Vijana Bw. Richard Mabala akielezea juu ukiukwaji wa Haki za Watoto hususan katika upande wa elimu. |
| Mwanaharakati wa Haki za Binadamu, Bi. Mishi Singano akichangia mada mara baada ya uwasilishwaji wa ripoti hiyo. |
| Baadhi ya wanaharakati kutoka taasisi mbalimbali nchini wakiwa katika picha ya pamoja. |
No comments:
Post a Comment