Mafunzo ya uwajibikaji katika jamii (SAM)
Diwani
wa Kibakwe, Pamela Mnemele akiwasisitiza wajumbe wa timu ya SAM kueleza kwa
uhuru na uwazi changamoto wanazokabiliana nazo kwenye jamii ili
zifikishwe kwa madiwani na kutafutiwa ufumbuzi. Sikika inaendesha mafunzo ya
SAM wilayani Mpwapwa.
No comments:
Post a Comment