Mwezeshaji toka Sikika Bw. Jackson Sikahanga akiendesha Mafunzo ya SAM katika wilaya ya Mpwapwa.
Baadhi ya wajumbe wa timu ya SAM wakifuatilia mafunzo hayo kwa makini, wa kwanza toka (kushoto) ni Bw. Nestory Ngunwa, (katikati) Bw. Michael Kuchela (kulia) na Bw. Yohana Madinda wilayani Mpwapwa.
Bw. Yohana Madinda toka (kushoto) na Bi. Zeli Mtula wakifuatilia mafunzo hayo.
Baadhi ya wajumbe wa timu ya SAM wakifuatilia mafunzo hayo kwa umakini toka (kulia) ni Bw. John Mwilongo, (katikati) Bi. Victoria Chizua na Bi. Pamela Mnemele (kushoto).
Bw. Michael Kuchela, akifafanua jambo wakati wa mafunzo hayo.
Afisa Mtendaji wa kata Mpwapwa mjini Bi. Gift Ngatunga akitoa maelezo
katika mafunzo hayo.
Wajumbe wa timu ya SAM wilayani Mpwapwa wakifuatilia mafunzo hayo.
| Bi. Norah Mchaki toka Sikika ambaye pia ni mmoja wa wawezeshaji wa mafunzo ya SAM akitoa mafunzo hayo kwa timu ya SAM wilayani Singida vijijini. |
 |
No comments:
Post a Comment