Monday, October 27, 2014

Tamko la Sikika kuhusu ukosefu wa dawa na vifaa tiba katika hospitali, vituo vya afya na zahanati za umma nchini.

Mkurugenzi wa Sikika Bw. Irenei Kiria akitoa tamko mbele ya waandishi wa habari (wahapo pichani) juu ya ukosefu wa dawa  na vifaa tiba katika hospitali, vituo vya afya na zahanati za umma nchini. Kutoka kushoto ni Mkuu wa Programu za Sikika Bw. Patrick Kinemo na kulia ni Mkuu wa Idara ya Dawa na vifaa tiba (Sikika)  Bi.Alice Monyo.
Mkurugenzi wa Sikika Bw. Irenei Kiria akisisitiza jambo wakati akiwasilisha tamko hilo mbele ya waandishi wa habari. 

Bw. Irenei Kiria akifafanua baadhi ya maswali yalioulizwa na waandishi wa habari katika mkutano huo. 

 Bw. Irenei Kiria akifafanu jambo.
Baadhi ya waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari wakifanya kazi yao. 
Baadhi ya waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari wakisikiliza kwa makini tamko hilo.


No comments: