| Naibu Katibu Mkuu TAMISEMI - Afya, Dk. Deo Mtasiwa akitoa hotuba fupi katika mkutano huo. |
| Mkurugenzi wa Sikika Bw. Irenei Kiria akisoma hotuba kwa niaba ya Asasi za Kiraia nchini. |
| Mkurugenzi utoaji Huduma za Afya Bi. Josephine Bulati akisoma hotuba kwa niaba ya Sekta binafsi na Mashirika ya Dini. |
| Wadau mbalimbali katika Sekta ya Afya wakifuatilia majadiliano. |
| Mkuu wa Idara ya Dawa na Vifaa Tiba (Sikika) Bi. Alice Monyo (wa kwanza kushoto) akichangia mada. |
Mkurugenzi wa sekta binafsi katika masuala ya Afya, Dr. Samwel Ogillo akichangia mada katika mkutano wa mapitio ya sekta ya afya. |
Mh. Ummy Mwalimu akielezea vipaumbele nane vya Sekta ya Afya kwa mwaka 2016/2017.
| Mh. Ummy Mwalimu (katikati) akizindua Mpango Mkakati wa Nne wa Sekta ya Afya 2015 - 2020 (HSSP IV). |
| Bw. Irenei Kiria (kulia) akikabidhiwa Mpango Mkakati wa Nne wa Sekta ya Afya 2015-2020 (HSSP IV) kwa niaba ya Asasi za Kiraia nchini na Waziri wa Afya, Mh. Ummy Mwalimu. |
| Mh. Ummy Mwalimu akitoa maelezo baada ya uzinduzi wa mpango huo. |
| Bw. Irenei Kiria akichangia mada kuhusu HSSP IV. |
| Picha ya pamoja: Mh. Ummy Mwalimu (wa nne kutoka kushoto) akiwa na Wadau wa Sekta ya Afya. |
| Mkurugenzi Mtendaji wa Sikika, Bw. Irenei Kiria akifanya mahojiano na Waandishi wa Habari nchini juu ya mkakati mpya wa Afya. |
Bw. Irenei akisalimiana na Mr. Konga kutoka Wizara ya Afya.
Pia unaweza kupata tamko la Asasi za Kiraia kupitia www.sikika.or.tz
|
No comments:
Post a Comment