Thursday, March 10, 2016

Sikika yafanya mkutano na Wahariri wa vyombo vya Habari kuhusu namna ya kuboresha uandaaji na upitishaji wa Bajeti ya Serikali kwa mwaka 2016/2017

Mkurugenzi Mtendaji wa Sikika Bw. Irenei Kiria akiongea na baadhi ya wahariri wa vyombo vya habari juu ya  mchakato wa kuandaa bajeti, na kuangazia mambo yanayoweza kushughulikiwa  ili kuweza kupunguza matumizi yasiyo ya lazima. Kulia ni Mkuu wa programu za Sikika Bw. Patrick Kinemo.






No comments: